Apartment ya vyumba viwili inauzwa Buza Tanesco, Dar Es Salaam (500 sqm)
Buza, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 470,000,000
Maelezo
APARTMENT NANE(8),TZS.470 MILIONI, BUZA-TANESCO.
Ghorofa ya Kisasa yenye Sakafu/Floor mbili.
Kila UNIT/Apartment ina vyumba 2 vya kulala
Ambapo Masta ni 1,Sebule,Jiko na Choo cha Familia.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.500.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
JumlaJengo zima linaingiza TZS.2,400 kila Mwezi.
WAHI KITEGAUCHUMI CHA UHAKIKA NA BEI HII NI RAFIKI.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
_________________mpg/xc




