Apartment ya vyumba viwili inauzwa Fani City, Kigamboni, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 APARTMENT ZINAUZWA – KIGAMBONI, FANI CITY
Fursa nzuri ya uwekezaji yenye kipato kinachoingia tayari!
📍 Mahali: Fani City, Kigamboni
Sifa za nyumba:
✅ Apartment 2, kila moja ikiwa na:
* Vyumba 2 vya kulala
* Sebule
* Jiko
✅ Pia kuna frame ya biashara nje yenye mpangaji.
💰 Uwekezaji tayari unaingiza kipato:
* Apartment zote mbili zina wapangaji.
* Frame ya biashara pia ina mpangaji.
Huduma na mazingira:
✔️ Kisima cha maji
✔️ Paving nzuri
✔️ Mazingira safi na tulivu
Umbali:
📍 Km 1 kutoka barabara kuu ya lami
📍 Km 12 kutoka Ferry
📍 Km 10 kutoka Daraja la Nyerere
💵 Bei: Milioni 90 tu (mazungumzo kidogo yapo).
📞 0769554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















