Apartment ya vyumba viwili inauzwa Kariakoo Lumumba, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
APARTMENT FOR SALE(mkataba UNAUZWA)
2 bedrooms
Sitting room
Kitchen
Public toilet
Ipo floor ya kwanza
Imefanyiwa marekebisho makubwa Iko vizuri
Ni ya NHC Kuna mtumishi wa serikali amelipia mkataba wa miaka mitatu
Anahitaji sh Milioni 15 na ameomba atanguliziwe sh Milioni 10 kwanza Kisha mteja akimalizia wataenda kubadilishia umiliki sasa kule NHC
Ukipiga hesabu kwa mwezi mpangaji atakuwa analipa kama sh 420k
Na mkataba wa miaka mitatu ukiisha jamaa anasema mpangaji mpya atakuwa analipa NHC Kodi kwa miezi sita na kwa mwezi atakuwa analipa kama sh 300k hivi
Location KARIAKOO LUMUMBA
0712265331 call/whatsap
Call me MR JAMBALAGA aka SENIOR
NB:ukilipia fenicha zinatoka















