Apartment ya vyumba viwili inauzwa Mbezi Makabe, Dar Es Salaam (400 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 APARTMENTS 2 ZINAUZWA – MBEZI MAKABE, DAR ES SALAAM 🇹🇿
💰 Bei: Milioni 70 tu
📐 Ukubwa wa Kiwanja: SQM 400
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Apartments 2 ndani ya fensi
✅ Kila apartment ina:
• Vyumba 2 vya kulala (1 Master Bedroom)
• Sebule
• Dining Room
• Jiko
• Public Toilet
🔨 Zimepauliwa tayari, zinahitaji finishing tu kulingana na ladha yako.
💵 Fursa ya Uwekezaji:
Ukikamilisha finishing kwa ubora, unaweza kupanga kwa wastani wa Tsh 500,000/= kwa mwezi kwa kila apartment, sawa na zaidi ya Tsh 1,000,000/= kwa mwezi kwa apartments zote mbili.
📍 Eneo zuri na lenye maendeleo, linafaa kwa makazi au uwekezaji wa kupangisha.
📞 Kwa maelezo zaidi na utaratibu wa kuangalia nyumba, wasiliana na:
+255 688 412 890
🔥 Dalali wako Wakishua 🔥















