Apartment ya vyumba viwili inauzwa Mgindoni Kisota, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Apartment
Vyumba
2
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
600m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏢 APARTMENT ZA BIASHARA ZINAUZWA – KIGAMBONI, MGINDONI KISOTA
Unatafuta fursa ya uwekezaji yenye kipato cha uhakika? Hizi apartment ni chaguo sahihi kwa ajili ya kuanza au kupanua biashara yako ya upangishaji.
Sifa za Apartment:
✅ Apartment 2 zilizokamilika.
✅ Kila apartment ina vyumba 2 vya kulala, sebule na jiko.
✅ Zimejengwa kwenye eneo la SQM 500.
✅ Eneo limepimwa na lina Hati ya Wizara.
✅ Meta 600 tu kutoka barabara kuu.
✅ Kilomita 10 kutoka Feri ya Kigamboni.
✅ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere.
Faida za Uwekezaji:
✔️ Zipo katika eneo linalokua kwa kasi.
✔️ Zinatoa fursa nzuri ya kipato kupitia upangishaji.
✔️ Mazingira ni tulivu na yanavutia kwa wapangaji.
💰 Bei: TZS Milioni 160 tu.
🤝 Maongezi kidogo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.
📞 +255-769554221
#trendingvideo #istagram #realestatemarket #tanzania #trendingpage











