Beach Plots zinazouzwa Kimbiji, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
JE, UMEJIANDAA KUMILIKI ARDHI YAKO MWENYEWE? ๐ก๐ฟ
Leo ndiyo wakati sahihi wa kufanya maamuzi yatakayokuletea faida kesho.
Tunauza viwanja halali vinavyofaa kwa:
โ๏ธ Makazi
โ๏ธ Biashara
โ๏ธ Uwekezaji wa muda mrefu
Kwa nini uchague viwanja vyetu?
โ
Umiliki salama
โ
Bei nafuu na rafiki
โ
Malipo ya awamu yanapatikana
โ
Mazingira mazuri kwa makazi na biashara
โ
Fursa ya kuongeza thamani ya uwekezaji wako kadri muda unavyopita
MIRADI
๐Kimbiji kwa Chale
๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18
๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24 Wasiliana nasi:
๐+255 748 303 601
Ofisi zipo
๐Makumbusho jengo la Dermplaza floor ya 11
Usiache ndoto ya kuwa mmiliki wa ardhi ibaki kuwa ndoto. Chukua hatua leo, kwa sababu ardhi ni mali ambayo thamani yake huendelea kuongezeka.
Trust Solution Company Ltd โ Tunakusaidia kumiliki ardhi salama kwa urahisi. #PlotsKigamboni #SmartInvestment #BeachPlots #UwekezajiBora #ViwanjaVinauzwa FutureStartToday















