Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Tabata Bima, Dar Es Salaam (400 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก KIWANJA CHA UWEKEZAJI KINAUZWA โ TABATA BIMA (NJIA YA KIMANGA)
Je, unatafuta kiwanja chenye uwezo mkubwa wa kukuzalishia kipato? Hiki ndicho fursa unayoitafuta!
๐ Location: Tabata Bima, Njia ya Kimanga
๐ฃ๏ธ Kinatazama Main Road
๐ Ukubwa: SQM 400
โ
Kiwanja ni tambarare kabisa
โ
Miundombinu imekamilika na eneo lina shughuli nyingi za kibiashara
๐ผ Fursa za Uwekezaji:
* Jenga fremu za biashara mbele ya kiwanja na upangishe kwa TSh 250,000 โ 300,000 kwa kila fremu (kutegemeana na finishing).
* Nyuma ya kiwanja unaweza kujenga:
* Master room na jiko 3 โ kodi ya takribani TSh 300,000 kwa mwezi.
* Master, sebule na jiko 3 โ kodi ya takribani TSh 400,000 kwa mwezi.
Hii ni fursa adimu kwa wawekezaji wanaotafuta eneo lenye mahitaji makubwa ya biashara na upangishaji.
๐ฐ Bei: TSh 130,000,000 (Fixed)
๐ Nyaraka: Sales Agreement
๐ต Service Charge: TSh 30,000/=
๐ Wasiliana nasi:
Dalali Wakishua Real Estate Company Ltd
Miliki Kesho Yako Leo!!!








