Duka linauzwa Kariakoo, Dar Es Salaam
Kariakoo, Dar Es Salaam
2 days ago
Sh. 1,500,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
π NYUMBA YA KUUZA β KARIAKOO, DAR ES SALAAM
Nyumba ya Muhindi β Kariakoo inauzwa.
π Mahali: Mtaa wa Ndovu, Kariakoo β nyumba ya pili baada ya Kongo Bar.
π Eneo la biashara lenye thamani kubwa na fursa nzuri kwa uwekezaji.
π° Bei: TZS 1.5 Bilioni
Nyumba hii ipo katika eneo muhimu sana la Kariakoo, linalofaa kwa biashara, ofisi au uwekezaji wa muda mrefu.
π Kwa maelezo zaidi, kuiona nyumba na kufanya mazungumzo, wasiliana nasi.
KARIakoo β NDOVU STREET | TZS 1.5B
. /





