Duka linauzwa Pugu, Dar Es Salaam (2600 sqm)

Pugu, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 300,000,000
Aina
Duka
Ukubwa
2600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
MADUKA 11, KIWANJA SQM.2,600, TZS.300 MILIONI,PUGU/ILALA.
Hii ni Biashara endelevu na ukitaka kuongeza wigo nafasi bado unayo kubwa tu.
Maduka yapo mbele na yapo Kimkakati wa Biashara.
Nyuma unaweza kujenga Makazi au Kitega uchumi kingine kama Hoteli/Lodge, Maofisi,Karakana nk
Umiliki ji HATI (Title Deed) ya Wizara.
WAHI MALI ADIMU HIZI.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________mpg






