Shamba linauzwa Gwata, Geza Ulole, Morogoro acre 30

Ukubwa
30 ACRE
Huduma na Sifa
Maelezo
🌿 𝗦𝗛𝗔𝗠𝗕𝗔 𝗟𝗜𝗡𝗔𝗨𝗭𝗪𝗔 – 𝗙𝗨𝗥𝗦𝗔 𝗔𝗗𝗜𝗠𝗨 𝗞𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗞𝗨𝗟𝗜𝗠𝗔, 𝗪𝗔𝗙𝗨𝗚𝗔𝗝𝗜 𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗪𝗘𝗞𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 🌿
📍 𝗠𝗮𝗵𝗮𝗹𝗶: Kata ya Gwata, Kijiji cha Geza Ulole, Morogoro.
📐 𝗨𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮: Hekari 30
💰 𝗕𝗲𝗶: Milioni 25 tu (kwa shamba lote)
𝗦𝗜𝗙𝗔 𝗭𝗔 𝗦𝗛𝗔𝗠𝗕𝗔:
✅ Umbali wa km 7 kwa gari na km 5 kwa pikipiki.
✅ Barabara zinapitika.
✅ Hekari 1 tayari imelimwa mahindi.
✅ Eneo lililobaki linafaa kusafishwa na kuendelezwa kwa kilimo au ufugaji.
✅ Udongo wenye rutuba unaofaa kwa mazao mbalimbali na shughuli za ufugaji.
✅ Fursa nzuri kwa wakulima, wafugaji na wawekezaji.
𝗧𝗔𝗔𝗥𝗜𝗙𝗔 𝗠𝗨𝗛𝗜𝗠𝗨:
🔹 Mteja anayehitaji kwenda kuliona shamba atalipia 𝗮𝗱𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗲𝗺𝗯𝗲𝗹𝗲𝗮 (𝗩𝗶𝗲𝘄𝗶𝗻𝗴 𝗙𝗲𝗲) 𝘆𝗮 𝗧𝘀𝗵 100,000. Ada hii ni ya maandalizi ya safari, muda na huduma ya kuoneshwa eneo. Tafadhali hakikisha una nia ya kununua kabla ya kupanga ziara.
📞 Kwa 𝗺𝗮𝘄𝗮𝗮𝗶𝗹𝗶𝗮𝗻𝗼 zaidi na kupanga ziara ya kutembelea shamba, nipigie.0678-517158/0785-517158
𝗗𝗮𝗹𝗮𝗹𝗶 𝗠𝘀𝗵𝗶𝘂 – Tunakuunganisha na fursa bora za uwekezaji.






