Tafuta
-
-

Shamba linauzwa Manzase, Dodoma

 media -1
media -1
Sh. 2,000,000/acre

Aina

Shamba

Farm for sale in Manzase

Barabara ya Karibu

3km — Iringa Road

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maelezo

Fursa ya Kuwekeza Dodoma!

Tunauza mashamba yaliyopo Manzase – Iringa Road, Dodoma, umbali ni takribani KM 3 tu kutoka main road

- Bei nafuu kabisa — TSh 2,000,000 kwa eka
- Malipo ya taratibu hadi miezi 20
- Eneo zuri kwa kilimo

Usikose nafasi ya kumiliki ardhi yako Dodoma!

#mashamba #dodoma