Mashamba yanauzwa Mateves, Arusha (6 acre)

Mateves, Arusha
3 days ago
Sh. 60,000,000/acre
Huduma na Sifa
Maelezo
š¾ SHAMBA SAFI LINAUZWA - MATEVES
Fursa ya kipekee ya kuwekeza kwenye ardhi yenye thamani kubwa!
Ukubwa: Heka 6 (Zinauzwa kwa Heka moja moja).
Eneo: Mateves (Zipo umbali wa nusu kilomita tu kutoka Uwanja wa AFCON).
Bei: Milioni 60 kwa Heka moja.
Mambo ya Kuzingatia:
Malipo: Tunakubali malipo kwa awamu (Installments).
Mazungumzo: Bei ina maelewano.
Wasiliana Nasi:
Kwa maelezo zaidi na kufanya ziara ya kukagua shamba, piga simu sasa:
š 0627779772
š¢ InnoPlot ā Tunakupa thamani halisi ya ardhi yako.



