Tafuta

Guesthouse inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam (2600 sqm)

Sh. 500,000,000

Maelezo

🔥 LODGE YA KISASA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI KWA MKONGO 🔥

💰 BEI: MILIONI 500 TU

Unatafuta Lodge kubwa ya kisasa yenye uwezo mkubwa wa biashara? Hii ni fursa ya kipekee! 🔥

🏨 SIFA ZA LODGE:
✅ Vyumba 14, vyote vina Master Bedroom
❄️ Kila chumba kina A/C
🏢 Office kubwa ya kisasa
🍳 Jiko kubwa la kisasa
🍽️ Restaurant
💧 Kisima cha maji
📐 Eneo lina ukubwa wa Square Meter 2,600
📑 Full Documents

📍 IPO: Mbagala Chamazi – Kwa Mkongo

🔥 FURSA KUBWA KWA MWEKEZAJI!
Usipoteze muda, njoo site ukague mwenyewe.

📞 Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504

#LodgeInauzwa #Mbagala #Chamazi #KwaMkongo #RealEstateTanzania InvestmentOpportunity DalaliMbagala

Matangazo mengine Chamazi, Dar Es Salaam

Guesthouse inauzwa Mbagala Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam (2600 sqm)

Sh. 500,000,000

For Sale14 beds2,600 sqmguesthouse