Guesthouse inauzwa Morogoro-Mjini

Morogoro, Morogoro
11 hours ago
Sh. 300,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA WAGENI (LODGE) VYUMBA 14,TZS.300 MILIONI, MOROGORO-MJINI.
Mali hii ipo ina eneo kubwa,
unaweza kuongeza kujenga zaidi.
Ndani ya Fensi na Sehemu yenye Biashara.
Vyumba 14 kila Chumba na Choo chake ndani.
Pia kuna Ofisi na Parking yakutosha.
Wekeza penye Pesa weweee.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg



