Guesthouse inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam


Huduma na Sifa
Maelezo
šØ LODGE INAUZWA ā KINYEREZI šØ
Fursa adhimu kwa mwekezaji!
Lodge hii ipo Kinyerezi katika mazingira mazuri na panafikika kwa urahisi.
ā
Vyumba 7 vya kisasa (vyote Self-Contained)
ā
Reception
ā
CCTV Camera
ā
Full Air Conditioning (AC)
ā
Maji ya uhakika
ā
Parking kubwa ya kutosha
š° Kila chumba: TSh 30,000 kwa siku
š Mapato ya mwaka: Zaidi ya TSh Milioni 60
šµ Bei: TSh Milioni 370
š¤ Maongezi yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli.
š Muhitaji piga:
š¼ Service Charge: TSh 30,000/=
Karibu tajiri, wekeza leo kwenye biashara yenye mapato tayari!















