Guesthouse inauzwa Mapinga, Pwani
Aina
Guesthouse
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘π₯ NYUMBA INAUZWA β MAPINGA π₯π‘
π° BEI: TSH MILIONI 160/=
π€ MAONGEZI KIDOGO SANA!
π LOCATION:
Mapinga β Baobab School, upande wa juu
π Ipo mtaa mzuri na tulivu wa Kishua kabisa.
π¨ HISTORIA YA NYUMBA:
Nyumba hii zamani ilikuwa Guest House, lakini kwa sasa imepangishwa kwa wapangaji wa kawaida wa vyumba.
π΅ KIPATO KILICHOPO:
Kwa sasa wapangaji wanalipa TSH 100,000/= kwa kila chumba Master.
π DOCUMENT:
β
Hati Miliki (Title Deed) kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
π₯ FURSA YA UWEKEZAJI!
Mteja wangu mwekezaji, mali ya uwekezaji ndiyo hii! Unaweza kuendelea na mfumo wa upangishaji au ukaiboresha kulingana na malengo yako.
π¨ BONUS:
Vibali vyote vya Guest House vipo β hivyo kuna fursa ya kurejea kwenye matumizi hayo endapo utaona inafaa.
β‘ WAHI CHAP CHAP!
Mali kama hii yenye hati miliki + wapangaji waliopo + historia ya Guest House haipaswi kukaa sokoni muda mrefu.
*AGENT COMMISSION 5%*
π HUDUMA YA KUPELEKWA SITE: TSH 50,000/=
π₯ MTEJA WANGU WA UWEKEZAJI, HII NI FURSA YAKO! π₯
CONT/















