Guesthouse inauzwa Tabata Kinyerezi Zimbili, Dar Es Salaam (1000 sqm)









Aina
Guesthouse
Vyumba
8
Ukubwa
1000 SQM
Barabara ya Karibu
2km
Samani
Ndiyo
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡✨CLASSIC LODGE KALI SANA INAUZWA TABATA KINYEREZI ZIMBILI DAR ES SALAAM TANZANIA 🇹🇿 ✨🏡
Unatafuta sehemu nzuri ya kujenga makazi yako au kufanya uwekezaji wa apartments? Hiki hapa! 👇
📍LOCATION: TABATA KINYEREZI ZIMBILI
DAR ES SALAAM TANZANIA
UMILIKI: HATI MILIKI YA WIZARA YA ARDHI ✅
🚗:UMBALI NI DAKIKA 2 KUTOKA LAMI
📐UKUBWA WA KIWANJA NI SQM 1000
SIFA ZA LODGE 🏠
✅Kuna Vyumba 8 Vya Kulala Vyote Master bedrooms
✅Kuna Staffu Room ya wafanya kazi
✅Lodge inauzwa na kila kitu vilivyopo ndani
✅Kuna Maji ya Kisima na Dawasa
✅Kuna Security /Cctv Camera
✅BEI ni 50,000 Kwa kila Chumba
✅Neighborhood nzuri sana mtaa mnzuri
💰 BEI NI 300 million Tu (maongezi)
Service charge tsh 50000
Fursa nzuri kwa makazi au uwekezaji wa uhakika! 🔥
📞 Muhitaji piga: +255 768682919 au 0653233641







