Hospitali inauzwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
HOSPITAL INAUZWA
IPO Kimara Korogwe
Inauzwa na kila kitu chake kilichokuwepo ndani
Hii Hospitali ipo kwenye ngazi ya Hospitali ya Wilaya
Inafanya kazi masaa 24
Mmiliki ni mmoja
HATI YA WIZARA
Mwenyewe ameamua kuuza mali yake
BEI NI TSH 9.5b/- maongezi yapo kidogo
Contact 0712531657
0789731695















