Hospitali inauzwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam
Kimara, Dar Es Salaam
1 month ago
Sh. 9,500,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
HOSPITAL INAUZWA
IPO Kimara Korogwe
Inauzwa na kila kitu chake kilichokuwepo ndani
Hii Hospitali ipo kwenye ngazi ya Hospitali ya Wilaya
*Inafanya kazi masaa 24
Hospitali ni kubwa na inajulikana sana
Mmiliki ni mmoja
Ina HATI ya KISASA ya WIZARA
BEI NI TSH 9.5b/- maongezi yapo kidogo
Connect





