Hoteli inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam (602 sqm)

video thumbnail
Sh. 270,000,000

Aina

Nafasi ya Biashara

Vyumba

12

Ukubwa

602 SQM

Samani

Ndiyo

Huduma na Sifa

Parking Space
Bar
Jiko
Public Toilet
Stoo
Reception

Maelezo

🍾🏨 LOUNGE NZURI SANA INAUZWA – MABAGALA (KARIBU NA KITAMBAA CHEUPE)

Fursa adimu ya uwekezaji katika eneo la Mabagala karibu na Kitambaa Cheupe – sehemu yenye biashara inayokua kwa kasi.

💰 Bei: Milioni 270
📐 Ukubwa: Sqm 602
🛋️ Unaachiwa kila kitu (Fully furnished & equipped)

🔥 SIFA ZA ENEO:

✅ Vyumba 12 – vyote Master
✅ Parking space ya kutosha
✅ Bar kamili
✅ Jiko
✅ Counter
✅ Reception
✅ Public Toilets (Me & Ke)
✅ Store

📍 Ofisi: TABATA SEGEREA MWISHO STENDI

👀 Gharama ya kuoneshwa: 30,000/=
(Inalipwa mara moja na itadumu mpaka upate mali)

💼 Inafaa kwa wanaotaka kuingia moja kwa moja kwenye biashara bila kuanza from scratch.

📞 Piga simu kwa maelezo zaidi: +255688412890

✨ Dalali wako Wakishua