Nyumba inauzwa Kariakoo, Dar Es Salaam

Kariakoo, Dar Es Salaam
8 hours ago
Sh. 4,500,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
GHOROFA YA-SAKAFU/FLOOR 5,TZS.4.5 BILIONI, KARIAKOO.
Hii ni Nyumba ya MAKAZI NA BIASHARA.
Ipo Mitaa ya LUMUMBA/NARUNG'OMBE.
MCHANGANUO:
Chini ni MADUKA 2 na MGAHAWA 1.
Sakafu ya KWANZA ni Ghala/Godown
Sakafu 2- 5 ni APARTMENTS.
~Jumla kuna Units 6 ambapo:
●3 ni za vyumba 2 na
●3 nyingine zina vyumba 3.
Mnunuzi wasiliana nami mapema kwa-kukagua na uje wewe.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg





