Nyumba inauzwa Kibaha Kongowe, Pwani
Aina
Nyumba
Barabara ya Karibu
800m β Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA 3 NDANI YA FENCE MOJA ZINAUZWA TSH MILIONI 28 TU KIBAHA KONGOWE.
==========
NYUMBA YA KWANZA INA:-
π»Ina vyumba viwili vya kulala
π»Sebule
NYUMBA YA PILI INA:-
πΊVyumba viwili vya kulala
πΊSebule
==========
NYUMBA YA TATU INA:-
πΊChumba kimoja cha kulala
πΊSebule
==========
π Tiles na Gypsum board ishawekwa kwenye nyumba ya kwanza
βοΈ Zina umeme na maji
__________________
βοΈ Nyumba zipo mita 800 tu kutoka Morogoro road
βοΈ Zipo ndani ya fence
βοΈ Zipo kwenye barabara ya mtaa
_____________________
π° BEI MILIONI 28 tu.
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















