Tafuta

Nyumba inauzwa Kivule Ccm, Dar Es Salaam (600 sqm)

video thumbnail
Sh. 85,000,000

Huduma na Sifa

Maelezo

NYUMBA YENYE HATI, TSHS.85 MILIONI,KIVULE CCM.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600.
Umiliki HATI (Title Deed) ya Wizara.

Nyumba nzuri ya kisasa ndani ya Fensi.

Zaidi, kuna:
●MABANDA YA KUFUGIA KUKU,
●KISIMA cha Maji,
●MFUMO WA UMEME WA JUA (Solar System)
●Gereji ya Gari moja.

Parking pia ipo na Mtaa umetulia.

NASENA WAHI.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_____________rK