Nyumba inauzwa Kivule Ccm, Dar Es Salaam (600 sqm)

Aina
Nyumba
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YENYE HATI, TSHS.85 MILIONI,KIVULE CCM. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600. Umiliki HATI (Title Deed) ya Wizara. Nyumba nzuri ya kisasa ndani ya Fensi. Zaidi, kuna: ●MABANDA YA KUFUGIA KUKU, ●KISIMA cha Maji, ●MFUMO WA UMEME WA JUA (Solar System) ●Gereji ya Gari moja. Parking pia ipo na Mtaa umetulia. NASENA WAHI. _____________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 _____________rK















