Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Chalinze Msolwa, Pwani (140 acre)

Aina
Kiwanja (Commercial Plot)
Ukubwa
140 ACRE
Barabara ya Karibu
1km — Morogoro Road
Huduma na Sifa
Maelezo
Jamani lile eneo letu baada ya Madalali wengi kunilalamikia kuwa bei ni kubwa na Wateja wengi wanaomba bei ipungue basi kilio chao kimesikika Mmiliki kaamua KUSHUSHA KUTOKA Tsh 5Bilion mpaka Tsh 3.5 Bilion.
Eneo letu lipo CHALINZE - MSOLWA limegusa barabara ya Morogoro road kama unavyoona na magari yanapita hapo barabarani.
Lipo mkono wa kushoto ukiwa unaelekea Morogoro na kutoka pale ilipo stand ya Mabasi ya Chalinze/ ofisi za Halmashauri ya chalinze ukiwa unaelekea Morogoro road ni km 1 tu.
Eneo ni heka 140
Bei kwa sasa ni 3.5 Bilion ✅kutoka 5 Bilion❌
Contact +255 712531657
0789731695






