Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Kisota, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Kiwanja (Commercial Plot)
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA CHA BIASHARA KINAUZWA โ KIGAMBONI KISOTA USHUANI
Kiwanja kina maghala mawili yenye mfumo wa vyumba vitatu.
Bei ni milioni 90, maongezi kidogo yapo.
๐น Ukubwa wa kiwanja: SQM 700
๐น Kimepimwa na kina hati ya wizara
๐น Kipo umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami
๐น Kilomita 3 kutoka Ferry
๐น Kilomita 4 kutoka Dangote
Kiwanja kinafaa kwa biashara au uwekezaji. Karibu sana.
๐0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingsongs















