Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Kisota, Dar Es Salaam (700 sqm)

Aina
Kiwanja (Commercial Plot)
Vyumba
3
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA CHA BIASHARA KINAUZWA – KIGAMBONI KISOTA USHUANI
Kiwanja kina maghala mawili yenye mfumo wa vyumba vitatu.
Bei ni milioni 90, maongezi kidogo yapo.
🔹 Ukubwa wa kiwanja: SQM 700
🔹 Kimepimwa na kina hati ya wizara
🔹 Kipo umbali wa mita 500 kutoka barabara ya lami
🔹 Kilomita 3 kutoka Ferry
🔹 Kilomita 4 kutoka Dangote
Kiwanja kinafaa kwa biashara au uwekezaji. Karibu sana.
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #tanzania #realestateforsale #trendingsongs















