Kiwanja (Commercial Plot) kinauzwa Tegeta Namaga, Dar Es Salaam (1905 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏗️ ENEO LINAPATIKANA – TEGETA NAMAGA
🔥 FURSA 3 KWA MPIGO KWA WAWEKEZAJI!
📍 Location: Tegeta Namaga
📐 Ukubwa: 1,905 SQM
✨ Eneo zuri sana kwa biashara au uwekezaji – karibu na barabara kuu, linafikika kirahisi na lina potential kubwa ya maendeleo.
💼 CHAGUO 3 ZA UWEKEZAJI
1️⃣ 🏢 Kupangisha (Rent)
💵 Bei: TZS 1,500,000 / Month
📅 Malipo: Kuanzia miezi 6
✔ Inafaa kwa biashara, godown, parking ya magari, au matumizi mengine ya kibiashara
2️⃣ 🤝 Joint Venture (Ubia)
🏗️ Mwenye eneo yuko tayari kushirikiana na mwekezaji kujenga apartments
🏢 Unaweza kujenga hadi apartments zaidi ya 10
📊 Mgawanyo (Makubaliano):
• Mwenye eneo: Apartments 5
• Mwekezaji: Apartments 5
🔥 Fursa nzuri kwa wanaotaka kuingia real estate bila kununua ardhi!
3️⃣ 🏡 Kuuza (For Sale)
💰 Bei: TZS 500,000,000 (Mazungumzo yapo)
✔ Nunua eneo lote na uwe mmiliki kamili
📄 SIFA ZA ENEO
📍 Karibu sana na barabara kuu
🏗️ Linafaa kwa apartments, biashara au uwekezaji
📐 Ukubwa mkubwa (1,905 sqm)
🌿 Mazingira mazuri na barabara pana
📜 Lina Hati Miliki (Title Deed)
📞 WASILIANE SASA
📱 Call / WhatsApp: +255 744 701 813
✨ Opportunity kubwa kwa wawekezaji wanaotaka kufanya smart move kwenye real estate.
#ViwanjaVinauzwa #Tegeta #DarEsSalaam #RealEstateTanzania #Uwekezaji LandForSale PropertyInvestment











