Tafuta

Kiwanja kinauzwa Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam sqm 3000

Sh. 120,000,000

Ukubwa

3000 SQM

Barabara ya Karibu

800m β€” Chamazi Kwa Mkongo

Maelezo

🏑 ENEO LINAUZWA – CHAMAZI KWA MKONGO

Unatafuta eneo zuri kwa ajili ya makazi, biashara au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!

πŸ“ Mahali: Chamazi Kwa Mkongo
πŸ“ Ukubwa: Square Meter 3,000
πŸ“„ Hati: Hati Miliki ya Wizara
πŸ’° Bei: TSh Milioni 120

βœ… Eneo lipo umbali wa takribani mita 800 kutoka barabara ya Chamazi Kwa Mkongo.
βœ… Ni tambarare na lipo katika mazingira mazuri na salama.
βœ… Lipo jirani na kiwanda cha misumari na kiwanda cha rangi.
βœ… Linafaa kwa ujenzi wa nyumba, godown, kiwanda au mradi mwingine wa uwekezaji.

πŸ“ž Njoo site ujionee mwenyewe, ukague na ukiridhika ulipie.

Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504.

Matangazo mengine Chamazi, Dar Es Salaam