Kiwanja kinauzwa Chamazi Kwa Mkongo, Dar Es Salaam sqm 3000
Ukubwa
3000 SQM
Barabara ya Karibu
800m β Chamazi Kwa Mkongo
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ ENEO LINAUZWA β CHAMAZI KWA MKONGO
Unatafuta eneo zuri kwa ajili ya makazi, biashara au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!
π Mahali: Chamazi Kwa Mkongo
π Ukubwa: Square Meter 3,000
π Hati: Hati Miliki ya Wizara
π° Bei: TSh Milioni 120
β
Eneo lipo umbali wa takribani mita 800 kutoka barabara ya Chamazi Kwa Mkongo.
β
Ni tambarare na lipo katika mazingira mazuri na salama.
β
Lipo jirani na kiwanda cha misumari na kiwanda cha rangi.
β
Linafaa kwa ujenzi wa nyumba, godown, kiwanda au mradi mwingine wa uwekezaji.
π Njoo site ujionee mwenyewe, ukague na ukiridhika ulipie.
Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504.









