Kiwanja kinauzwa Goba Dangote, Dar Es Salaam (1300 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
Kowanja kizuri sana tunakiuza.
kipo ๐ Dar es salaam. GOBA DANGOTE. Njia ya Mbezi Beach Masana.
Kiwanja Chapili kutoka lami, kwa Mita 50 tu (Hatua 50).
Kutoka lami hadi kwenye kiwanja HAUGUSI VUMBI. Barabara ya gari imewekwa ZEGE.
Uzuri wa kiwanja hiki ni CORNER PLOT na kipo Mtaa Mzuri.
Eneo SQM 1300
BEI: TZS 185 Million (Maongezi yapo)
Tupigie 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency















