Kiwanja kinauzwa Goba Kinzudi, Dar Es Salaam (350 sqm)









Goba, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 39,000,000/sqm
Aina
Kiwanja
Ukubwa
350 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Kiwanja cha THAMANI kinauzwa bei nzuri sana.
Kipo 📍 Dar es salaam. GOBA KINZUDI ROAD
▪︎ Kiwanja kipo barabara kuu ya mtaa, kinafikika vizuri sana 100%
▪︎ Kiwanja kimenyooka vizuri sana, MKEKA
▪︎ Kiwanja kinafensi pande mbili tayari
▪︎ Kiwanja ni CORNER plot
SQM 350
Njoo ununue kwa TZS 39 MZillion, huuze kwa TZS 70 - 80 Million.
Tupigie //
#luganoorealestateagency















