Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1000 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
โ๐ก KIWANJA KINAUZWA: GOBA KULANGWA ๐ก
โKama unatafuta eneo tulivu, la kisasa na lenye majirani WA kishua na unaweza lipa kwa awamu
โSifa za Kiwanja:
โ๐ Ukubwa: SQM 1000 (Eneo kubwa la kutosha)
โ๐ Mahali: Goba Kulangwa (Kilomita 1 tu kutoka lami ya Madale)
โ๐ฆ Miundombinu: Maji ya DAWASA tayari yapo site
โ๐๏ธ Mazingira: Mtaa mzuri sana na wa kisasa (umezungukwa na magorofa ya kutosha)
โBei na Masharti ya Malipo:
โ๐ฐ Bei: Tsh Milioni 125 (Maongezi yapo / Mazungumzo yanaruhusiwa)
โ๐ณ Urahisi: Unaruhusiwa kulipa kwa awamu!
โ๐ Wasiliana nasi sasa:
Piga au WhatsApp: 0794277000 kufanya viewing au maongezi zaidi.
โ#GobaKulangwa #KiwanjaKinauzwa #RealEstateTanzania #DalaliGoba #NyumbaNaViwanja















