Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KINAUZWA: GOBA KULANGWA 🏡
Kama unatafuta eneo tulivu, la kisasa na lenye majirani WA kishua na unaweza lipa kwa awamu
Sifa za Kiwanja:
📐 Ukubwa: SQM 1000 (Eneo kubwa la kutosha)
📍 Mahali: Goba Kulangwa (Kilomita 1 tu kutoka lami ya Madale)
💦 Miundombinu: Maji ya DAWASA tayari yapo site
🏙️ Mazingira: Mtaa mzuri sana na wa kisasa (umezungukwa na magorofa ya kutosha)
Bei na Masharti ya Malipo:
💰 Bei: Tsh Milioni 125 (Maongezi yapo / Mazungumzo yanaruhusiwa)
💳 Urahisi: Unaruhusiwa kulipa kwa awamu!
📞 Wasiliana nasi sasa:
Piga au WhatsApp: 0794277000 kufanya viewing au maongezi zaidi.
#GobaKulangwa #KiwanjaKinauzwa #RealEstateTanzania #DalaliGoba #NyumbaNaViwanja















