Kiwanja kinauzwa Goba Maghorofani, Dar Es Salaam (1005 sqm)









Aina
Kiwanja
Ukubwa
1005 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Kiwanja kizuri cha kishua kinauzwa..
๐ Dar es salaam. Ubungo. GOBA MAGHOROFANI. Karibu na barabara
โช๏ธ Kipo mtaa mzuri sana wa kishua.
โช๏ธ Barabara ya gari inazege. School bus mpaka mlangoni.
โช๏ธ Kinafaa sana kwa makazi. Kujenga nyumba ya ndoto yako
โช๏ธ Kipo tambalale, kimenyooka vizuri sana. Ukija uje na matofali uanze ujenzi.
Ukubwa SQM 1005
BEI: TZS 160 Million (Maongezi yapo)
Piga: 0767 891 406 // 0785 682 800
#luganoorealestateagency















