Kiwanja kinauzwa Goba Njia ya Makongo, Dar Es Salaam (600 sqm)
Makongo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 40,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
Karibu sana ndugu mteja🙏🏾
✨Kiwanja kizuri sana kinauzwa kinafaa kuwekeza apartments au nyumba yakuishi
✨Ukubwa wa kiwanja: sqmt 600
✨Location: Goba njia ya makongo
✨Bei : Million 40 (maongezi yapo kidogo)
✨Umiliki: Mmoja
✨Documents: Serikali ya mtaa
✨Umbali kutoka lami: Kilometer 1.5
🙏🏽karibu sana boss wangu fanya kazi na madalali tuonaotambulika kisheria hepuka matapeli , ofisi zetu zinapatikana nyuma ya Skycity mall
🙏🏽karibu kwa mawasiliano zaidi tupigie:















