Kiwanja kinauzwa Goba, Tegeta A, Dar Es Salaam (380 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
380 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 KIWANJA KINAUZWA - GOBA (TEGETA A) 🔥
Pata eneo tulivu na la kisasa la kujenga nyumba ya ndoto yako! Kiwanja kizuri sana kinauzwa kwa bei nafuu mno, eneo linalokua kwa kasi na lenye huduma zote muhimu.
Sifa za Kiwanja:
Mahali: Goba, Tegeta A
Ukubwa: SQM 380
Bei: TZS Milioni 24 Tu (Negotiable)
Hali ya Eneo: Bapa/Tambarare, tayari kwa ujenzi
Ulinzi na Usalama: Kimezungukwa na fensi pande mbili
Mazingira: Neighborhood nzuri, ya kisasa na majirani wameshajienga
Ufikikaji: Kinafikika kwa urahisi muda wote
📌 Wahi Sasa! Fursa Kama Hii Haidumu:
📞 Piga / WhatsApp: au
@dalaliuhuru_mbweni
#ViwanjaInauzwa #GobaTegetaA #KiwanjaGoba #RealEstateTanzania #NyumbaNaViwanjaDar PlotForSaleDar InvestInTanzania ViwanjaBeiNafuu TanzaniaRealEstate GobaNyumba















