Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
πΏ KIWANJA KINAUZWA β KIGAMBONI KIBADA πΏ
Fursa nzuri ya kuwekeza katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni Kibada.
β
Ukubwa: SQM 1,400
β
Kimezungushiwa fensi pande zote
β
Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
β
Bei: TZS 170,000,000 (mazungumzo kidogo yapo)
π Mahali:
* Kilomita 1 kutoka barabara kuu
* Kilomita 7 kutoka Feri ya Kigamboni
* Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
Kiwanja hiki kinafaa kwa makazi ya kifahari, biashara au uwekezaji wa muda mrefu.
π0769554221
#trendingpost #istagram #realestateforsale #trendingnow #tanzania















