Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam acre 3

Ukubwa
3 ACRE
Huduma na Sifa
Maelezo
π’ ENE0 KUBWA SANA LINAUZWA β KIGAMBONI KIBADA π’
π Eneo linagusa barabara kubwa ya lami inayotokea Ferry kuelekea Temeke, Mkuranga, Kongowe na maeneo mbalimbali muhimu.
π Located Kigamboni Kibada β eneo lenye maendeleo makubwa sana na fursa nyingi za uwekezaji.
π Ukubwa: Hekta 3
π Limepimwa β Surveyed & Approved tayari kwa kupata hati kwa jina lako.
β
Eneo linafaa kwa:
ποΈ Estate za makazi
π’ Apartment
π« Shule
π₯ Hospitali
π¨ Hoteli
π Godown/Warehouse
π Biashara mbalimbali kubwa
π¬ Shopping complex na miradi mingine ya uwekezaji
π₯ Eneo ni potential sana kwa biashara na uwekezaji wa muda mfupi na mrefu.
π₯ Linagusa moja kwa moja barabara ya lami.
π₯ Mazingira mazuri sana na eneo linaendelea kukua kwa kasi kubwa.
π° Bei: Bilioni 1.9 tu (Mazungumzo kidogo)
π Service Charge: 30,000/= kwa kwenda site kuona eneo.
π Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam kigamboniproperty uwekezajitz















