Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam sqm 1200

Ukubwa
1200 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β KIGAMBONI, KIBADA
π₯ FURSA NZURI YA UWEKEZAJI NA MAKAZI! π₯
Kiwanja kizuri kinauzwa Kigamboni β Kibada, kikiwa katika eneo zuri, tulivu na lenye mazingira ya ushuani.
β¨ Sifa za Kiwanja:
β
Ukubwa: SQM 1,200
β
Kimepimwa
β
Kina Hati ya Wizara
β
Eneo limekaa vizuri na lina mazingira mazuri
β
Kinafaa kwa makazi au uwekezaji
π Umbali:
π Mita chache kutoka Baba Alami
π Kilomita 8 kutoka Ferry
π Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere
π° BEI: TZS Milioni 145
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Fursa nzuri kwa mtu anayehitaji kiwanja kikubwa kwa kujenga nyumba ya kifahari au kwa uwekezaji wa muda mrefu.
π 0769 554 221
πService Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















