Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam sqm 640

Ukubwa
640 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI KIBADA (CHEKECHEA ) 🏡
Unatafuta kiwanja kizuri kwa uwekezaji au kujenga makazi ya ndoto? Hii ni fursa usiyoipaswa kuikosa!
📍 Location: Kigamboni Kibada – Salasala DDC
📐 Ukubwa: SQM 640
📄 Hati: Kimepimwa na Halmashauri
✨ Sifa za Kiwanja:
✅ Kipo katikati ya maghorofa
✅ Mtaa mzuri wenye mipango miji iliyopangwa vizuri
✅ Mita 200 tu kutoka barabara ya lami
✅Kilometers 11 kutoka Feri ya Kigamboni
✅ Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
🏗️ Kinafaa kwa:
✔️ Ujenzi wa nyumba ya makazi
✔️ Apartmenti
✔️ Uwekezaji wenye faida kubwa
💰 Bei: TSh Milioni78 tu (Mazungumzo yapo
📍service charge 30,0000
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















