Tafuta

Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam

Sh. 10,000,000

Maelezo

Kununua Ardhi sio matumizi ni uwekezaji wa maisha , ni moja ya asset ambayo inapanda thamani kadri mda unavyozidi kwenda bila kuathiriwa na sababu mbalimbali kama vile mfumuko wa bei, anguko la uchumi , machafuko ya kisiasa au majanga ya asili kama vile moto n.k

Ardhi unayonunua leo , miaka mitatu baadae utauza kwa bei ya juu , lakini pia hela uliyotumia kununua ardhi kwaka huu 2026 ikifika mwaka 2046 haitaweza tena kununua ardhi kwasababu ya TIME VALUE OF MONEY

Mwaka 2020 ulikua unapata kiwanja cha shilingi milioni 10 πŸ“KIBADA leo hii hata cha milioni 50 hupati , vijana tununue ardhi

MWISHO; mkipata kiwanja cha milioni 10 mnishtue dalali wenu namimi natafuta

✍️ DALALI MFUPI

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam

Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Sh. 90,000,000

For Sale1,100 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Sh. 110,000,000

For Sale1,100 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Sh. 110,000,000

For Sale1,100 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Kibada Shangwe, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 110,000,000

For Sale1,200 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Sh. 110,000,000

For Sale1,100 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (15900 sqm)

Sh. 2,000,000,000

For Sale15,900 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Kibada, Dar Es Salaam (650 sqm)

Sh. 75,000,000

For Sale650 sqmNegotiable