Kiwanja kinauzwa Kibamba Chama, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
š KIWANJA KINAUZWA ā KIBAMBA CHAMA š”
ā
Ukubwa: SQM 400
ā
Kipo umbali wa dakika 10 kutoka Kituoni Kibamba Chama
ā
Eneo zuri na linalokua kwa kasi
ā
Umeme na maji vyote vipo jirani
Kiwanja hiki kinafaa sana kwa makazi binafsi kwa wanaohitaji eneo lenye nafasi ya kutosha kwa familia. Pia ni chaguo bora kwa wawekezaji, kwani ukubwa wake unaruhusu ujenzi wa apartments au nyumba za biashara zenye nafasi nzuri ya maegesho na huduma nyingine muhimu.
š° Bei: Milioni 19 Tu
š +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
šµ Service Charge: 30,000/=
Karibu ndugu mteja tufanye biashara.
Dalali Amani Kimara
Miliki Kesho Yako Leo!!! š āØ















