Kiwanja kinauzwa Kidimu Mbezi Mpiji-Magohe, Dar Es Salaam (400 sqm)


Mbezi, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 11,000,000
Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
KIWANJA CHENYE BANDA,SQM.400,TZS. 11 MILIONI,
KIDIMU/MBEZI MPIJI-MAGOHE.
Hapa ni Mtaa wa MKOMBOZI.
Unafika MPIJI MWISHO kwa Daladala.
Kiwanja KIMEPIMWA,
Rahisi kufuatilia mchakato wa HATI.
Kibanda kilichopo kina Chumba kimoja Masta,
Sebule na vilevile kuna Choo cha nje.
UMEME UPO.
BEI HII NI-YA DHARULA,
WAHI.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
_________________v















