Kiwanja kinauzwa Kigamboni Buyuni, Dar Es Salaam


Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
1km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ฟ๐ KIGAMBONI BUYUNI โ FURSA YA KWELI YA KUMILIKI ARDHI YAKO! ๐๐
Je, bado unasubiri hadi bei zipande ndio uchukue hatua? Huu sio muda wa kusubiri โ huu ni muda wa KUWEKEZA! Kigamboni Buyuni ni eneo linalokua kwa kasi kubwa sana, likiwa na miundombinu inayoimarika kila siku. Barabara zinapitika, huduma muhimu zinakaribia, na thamani ya ardhi inaongezeka kila uchao.
Fikiria miaka michache ijayoโฆ utajivunia kusema โnilichukua hatua mapema.โ Hapa ndipo ndoto zako za kujenga nyumba ya kisasa, kufanya uwekezaji wa biashara, au kuhifadhi thamani ya pesa zako zinapotimia. Usikubali kubaki nyuma wakati wengine wanachukua nafasi hii ya kipekee.
โจ Viwanja vinapatikana kwa bei nafuu
โจ Eneo tulivu na linafikika hata kipindi cha mvua
โจ Karibu na maendeleo na huduma muhimu
โจ Hati na makubaliano yako salama
Chukua hatua LEO โ
๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24 kesho inaweza kuchelewa! Wekeza kwenye ardhi, kwa sababu ardhi haiwezi kuongezeka lakini thamani yake inaongezeka kila siku.
๐ +255 748 303 601
Wasiliana nasi sasa uchague kiwanja chako kabla hakijaisha!
#KigamboniBuyuni
#NunuaKiwanjaLeo
#UwekezajiSalama
#ArdhiNiMali
#PlotForSale
