Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dege Mchikichini, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 35,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Barabara ya Karibu

1.5km

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

🏡 VIWANJA VINAUZWA – KIGAMBONI, DEGE MCHIKICHINI
📍 Eneo zuri lenye maendeleo ya haraka
📍 Jirani kabisa na makazi ya watu
📍 Umbali wa km 1.5 tu kutoka barabara kuu
📍 Takribani km 23 kutoka Kigamboni Ferry
📍 Huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi.

✅ Viwanja vimepimwa rasmi na vina Plot Number.

💰 BEI MAALUM (Tsh 35,000/= kwa Sqm)
Sqm 741 = Tsh 25,935,000/=
Sqm 729 = Tsh 25,515,000/=

⚠️ Viwanja vilivyobaki ni hivi viwili tu!

📌 MPANGO WA MALIPO
Lipa kwa urahisi:
➡️ Anza na 70%
➡️ Malizia ndani ya miezi 3–6

🚀Hii ni fursa ya Kipekee
Hivi si viwanja vya kuacha —
wekeza leo kwa maisha ya sasa na baadae!

📞 Wasiliana nasi sasa:
0782438858
0658438858