Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Kisota, Dar Es Salaam (600 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
600 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡🔥 KIWANJA KINAUZWA – KIGAMBONI, KISOTA 🔥🏡
Fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo zuri la Kigamboni – Kisota , linalofaa kwa makazi na uwekezaji.
✨ SIFA ZA KIWANJA:
📐 Ukubwa: SQM 600
📄 Kimepimwa na kina Hati ya Wizara
📍 Eneo zuri na linalofikika kwa urahisi
🏗️ Kinafaa kwa kujenga nyumba au kwa uwekezaji
📍 UMBALI:
🚗 Mita chache kutoka barabara ya lami
⛴️ Kilomita 7 kutoka Ferry
🌉 Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni
💰 BEI: TZS MILIONI 90
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.
🔥 Fursa nzuri sana kwa mtu anayetafuta kiwanja chenye hati katika eneo la Ungindoni!
📞
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio
Viwanja kigamboni inzima
Beach plot kigamboni inzima,Geza,Mbutu,Kimbiji
Nyumba kigamboni inzima















