Kiwanja kinauzwa Kijichi Ushuwani, Dar Es Salaam (950 sqm)


Aina
Kiwanja
Ukubwa
950 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘π₯ KIWANJA KINAUZWA β KIJICHI , USHUWANI π₯π‘
Fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo zuri la KiJICHI β Ushuwani, lenye mazingira mazuri kwa makazi na uwekezaji.
β¨ SIFA ZA KIWANJA:
π Ukubwa: SQM 950
β
Kimezungushiwa fensi pande zote
πͺ Kina geti
π Kina kibanda ndani
π Kimepimwa rasmi na kina Hati ya Wizara
π UMBALI:
π Mita chache kutoka Baba Alami
π Kilomita 7 kutoka Kariakoo & Posta
π Kilomita 4 kutoka Mbagala kuu
π° BEI: TZS MILIONI 180
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ Kiwanja kipo kwenye mazingira mazuri na location nzuri sana kwa kujenga nyumba au kufanya uwekezaji.
π
πService charges 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio













