Kiwanja kinauzwa Kimara, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Maelezo

KIWANJA CHENYE HATI,SQM.1756,TSHS 150 MILIONI,KIMARA TEMBONI.

Ni umbali wa kilomita 1 tu kutoka Barabara ya Morogoro.

Panafikika kwa urahisi misimu yote.
Mtaa umejengeka vizuri.

Safi kabisa kwa Makazi yako au kuwekeza Biashara kama Apartments nk.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548.

________________mpg