Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Ditopile, Dar Es Salaam sqm 700
Ukubwa
700 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
š” KIWANJA KINAUZWA ā KINYEREZI DITOPILE, DAR ES SALAAM
Unatafuta kiwanja kikubwa kwa ajili ya kujenga nyumba ya ndoto au kufanya uwekezaji? Hiki ndicho fursa unayotafuta!
⨠Maelezo ya Kiwanja
ā
Eneo: Kinyerezi Ditopile
ā
Takriban KM 1 kutoka barabara ya lami
ā
Ukubwa: SQM 700
ā
Kipo kwenye mtaa mzuri, mpana na unaopitika kirahisi
ā
Kinafaa kujenga nyumba ya familia yenye nafasi kubwa au apartments kwa uwekezaji
ā
Huduma zote muhimu (maji, umeme na miundombinu) zinapatikana
š Nyaraka: Sales Agreement
š° Bei: TSh 30,000,000 tu
š Service Charge (Kuonyesha Kiwanja): TSh 30,000/=
Usikose fursa hii ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.
š Wasiliana:
Dalali Wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















