Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Madiba, Dar Es Salaam (1700 sqm)
ID: 260904EQBHK

Aina
Kiwanja
Ukubwa
1700 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
š” KIWANJA KINAUZWA ā KINYEREZI MADIBA
Je, unatafuta eneo la kifahari la kujenga nyumba ya ndoto au kufanya uwekezaji wa kiwango cha juu? Hiki ndicho unachokitafuta!
š Kiwanja kipo Kinyerezi Madiba, takribani kilomita 1 kutoka The Voice. Barabara ni ya lami mwanzo hadi mwisho mpaka kwenye site, hivyo unafika kwa urahisi bila usumbufu.
š Ukubwa: SQM 1,700
š Hati: Hati Miliki ya Wizara ya Ardhi
š° Bei: TSh 280,000,000
Kiwanja hiki kipo kwenye neighborhood tulivu na ya kifahari, inayozungukwa na nyumba za kisasa za watu wenye uwezo. Usalama ni wa hali ya juu, huku nyumba nyingi zikiwa na CCTV Cameras, na mitaa ikiwa safi, mipana na yenye mazingira bora ya kuishi.
Sifa za Kiwanja:
* Kipo ndani ya fence.
* Kimepimika vizuri na kimenyooka.
* Kinatazama barabara mbili (mbele na nyuma).
* Accessibility ni ya kiwango cha juu kutokana na barabara ya lami kufika moja kwa moja kwenye eneo.
Hiki ni kiwanja kinachofaa kujenga dream house yako au kufanya uwekezaji wenye thamani kubwa kwa sasa na siku zijazo.
š Muhitaji piga:
šµ Service Charge: TSh 30,000/=
Karibu sana tajiri. Fursa kama hii haziji kila siku!
#daressalaam #dalali #uwekezaji















