Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam (750 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
VIWANJA VINAUZWA โ KINYEREZI
Viwanja vinauzwa Kinyerezi Shule, takribani km 1.5 kutoka kituoni.
Barabara ni nzuri na inafikika kirahisi mwaka mzima.
๐ Eneo limejengeka, lina nyumba za kisasa na mazingira tulivu sana.
๐ Huduma zote za msingi za kijamii zinapatikana.
๐ Viwanja ni tambarare na tayari vimepimwa.
๐ Ukubwa:
* Tunakata kulingana na mahitaji
* Kiwanja kimoja: sqm 750
๐ฐ Bei:
* Milioni 40 (FIXED) kwa sqm 750
Unaweza kuchukua kiwanja kimoja au zaidi na kuunganisha kulingana na mahitaji yako.
โ
Inafaa kwa:
* Makazi binafsi (jenga dream house yako)
* Apartments
* Guest house / Lodge / BNB
* Miradi mikubwa ya uwekezaji
๐ Piga simu: +255688412890
๐ผ Service charge: 30,000/=
๐ Muuzaji ni mmiliki halali, nyaraka zipo.
Location ni nzuri na inalipa โ usikose fursa hii!
Karibu sana tajiri.















